Bi Salma akagua shule ya
Nyamisati
10/05/2009

Mwenyekiti wa taasisi ya wanawake na
Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akiongea na mwanafunzi Sharifa
Hamidu wa kidato cha kwanza, Nyamisati Secondary School, mwenye umri wa
miaka 14 huku mbunge Mh. Lucy Mayenga aliyefuatana na mama Kikwete
katika kukagua maendeleo ya shule hiyo wilayani Rufiji mkoa wa Pwani
akiangalia.

Jengo jipya la
shule ya sekondari ya Nyamisati ambayo imejengwa na WAMA katika kata ya
Salawe wilayani Rufiji.
|