Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Makamu wa rais wa Iran atembelea Dar es Salaam

11/05/2009

Makamu wa Rais Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Watu wa Iran Mhe. Parvis Davoodi wakipungia mikono wananchi walipowasili kwenye  viwanja vya Karimjee Dar es Salaam leo. Makamu wa Rais wa Iran yupo Nchini kwa ziara ya siku mbili ya kiserikali.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©