Makamo wa rais wa Iran
atembelea Zanzibar
12/05/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume, akisalimiana na Makamo wa kwanza wa
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Watu wa Iran, Parvis Davoodi, alipowasili
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akifuatana na mgeni wake Makamo wa
kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Watu wa Iran, Parvis Davoodi,
alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar, akiwa
katika ziara ya siku moja nchini.

Makamo wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya
Kiislamu ya Watu wa Iran, Parvis Davoodi, akikagua gwaride rasmi la
jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ, alipowasili katika uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Zanzibar, akiwa katika ziara ya siku moja nchini.
|