Kikosi cha Tanzania -
Darfur
13/05/2009

Kikosi
cha wanajeshi wa Tanzania kinachotarajiwa kwenda nchini Sudan kutuliza
na kulinda amani Darfur, kikijiandaa kisawasawa na vifaa vyote
vinavyohitajika.

Wanajeshi
800 kutoka Tanzania watajiunga na vikosi vya Umoja wa Mataifa na Afrika
katika kazi ya kutuliza na kulinda amani Darfur nchini Sudan.

Jumla ya
wanajeshi 875 wanakwenda Darfur, 75 kati yao ni wahandisi. Hii ni
mojawapo katika kusaidia jitihada za umoja wa mataifa wa kulinda amani
huko Darfur nchini Sudan.
|