Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

UK yasaidia walioathirika na mabomu ya Mbagala

15/05/2009

Mkuu wa idara ya maendeleo ya kimataifa wa Uingereza nchini Tanzania, bwana Darren Welch, akitoa msaada wa vifaa vya shule ya msingi ya Mbagala Kuu kwa mwalimu mkuu wa shule hiyo bwana Paul Daniel, ikiwa moja ya mchango wa walioathirika na mabomu yaliyolipuka Mbagala, Dar es Salaam.

United Kingdom kupitia idara yake maalum iliyopo nchini Tanzania (DFID) Department for International Development, imetoa $90,000 (takriban Tsh. 122 milioni) kwa kutoa msaada wa haraka sana kwa waliofikwa na maafa ya mlipuko wa mabomu ya Mbagala jijini Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©