Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete akaribishwa na Obama

21/05/2009

Rais wa Marekani, Barack Obama akimkaribisha rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ofisi ya Ikulu ya Marekani (Oval Office) katika mkutano wa uhusiano kati ya nchi mbili ambao ulihudhuriwa na wahusika mbalimbali wa ngazi ya juu.

Rais Kikwete, rais Obama na Mheshimiwa Hillary Clinton wakiwa katika mkutano wa pamoja ambao umefanyika Ikulu ya Marekani katika chumba maarufu cha rais (The Oval Office), Washington D.C.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©