Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Polisi ashambuliwa na Wanajeshi

25/05/2009

Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limesema, bado halijakabidhiwa ripoti ya tukio la Wanajeshi waliomshambuliwa askari wake wa kikosi cha usalama barabarani, Thomas Mayapila wiki iliyopita wakati akiongoza magari katika mitaa ya Ubungo.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Evarist Mangalla alisema bado hawajakadhiwa ripoti hiyo.

Mangalla alisema wanaendelea kuisubiri ripoti ili taratibu za kisheria ziweze kuchukuliwa mara moja kwa yule atakayebainika kuwa na makosa.

Baada ya tukio hilo ambalo lilidaiwa kuhusisha askari zaidi ya mmoja, iliundwa timu ya askari ya Polisi na JWTZA ili kuanza uchunguzi huo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©