Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Karume azindua mradi wa umwagiliaji maji BUMBWISUDI

27/05/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa ukarabati wa miundo mbinu ya kilimo cha umwagiliaji maji mabonde ya Kibokwa na Bumbwisudi, mradi huo umefadhiliwa na Serikali ya Korea (wa tatu kulia) Balozi wa Korea nchini Tanzania, Young-Jun Kim.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, na Balozi wa Korea nchini Tanzania, Young-Jun Kim, kwa pamoja wakifungua pazia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa mradi wa ukarabati wa miundo mbinu ya kilimo cha umwagiliaji maji mabonde ya Kibokwa na Bumbwisudi kwa ufadhili wa Serikali ya Korea.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©