Karume azindua mashine
mpya za Kiafya
10/06/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume (katikati) Waziri Kiongozi wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, wakipata maelezo
kutoka kwa Mtaalam Mzalendo Dk. Khamis Abdul-Rahman kuhusu Mashine ya
kisasa, CT-Scan, inayochunguza matatizo mabli mbali ya Binadamu katika
Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume (wa pili kushoto), pamoja na
Viongozi wengine wakiangalia matokea ya vipimo na picha,baada ya
kuchunguza mgonjwa kwa kutumia mashine ya CT-Scan ambayo huchunguza
magonjwa mbali mbali katika mwili wa Binadamu katika hopitali Kuu ya
Mnazi Mmoja, mara baada ya kuzindua mashine hiyo ya CT-SCAN na XRAY.
|