Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

KNIGHTS kukuza mfuko wa watoto walemavu

11/06/2009

The Knights Charity wamefanikisha tamasha la michezo ambayo imefanyika katika viwanja vya Kijitonyama, Dar es Salaam, kwa dhumuni la kukuza mfuko kwa watoto walemavu kusaidia Jeshi la Uokovu (Salvation Army) ambao wanaangalia watoto hao walemavu.

Michezo mbalimbali iliandaliwa katika tamasha hilo ikiwamo 'Knight Rider, Dragons Smoky Lair, Lance-A-Lot, Chariots of Fire na Excalibur'

Wahudumu (waiters) walitumia baiskeli kuhudumia waliofika katika viwanja hivyo.

Washindi wa michezo hiyo siku hiyo waliondoka na zawadi kem kem.

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Lawrence Masha alikuwa ni mmoja wa waalikwa na mmoja wa walioshiriki michezo hiyo. Timu yake ilishinda mchezo wa Wanazimamoto (Fire Fighting Drill).

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©