Vodacom yamwaga misaada
MAFIA
14/06/2009

Meneja Uhusiano wa Vodacom
Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kulia) akikabidhi kemikali (ambazo
zimehifadhiwa kiufundi) kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kitomondo,
kwa ajili ya kusaidia mafunzo kwa njia ya vitendo katika maabara ya
shule hiyo, wilayani Mafia.

Meneja Uhusiano wa Vodacom
Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akikabidhi mabati kwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Lewis Kalinjuna
kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa shule ya sekondari Kitomondo, wilayani
Mafia.

Meneja Uhusiano wa Vodacom
Foundation, Yessaya Mwakifulefule (kushoto) akikabidhi mifuko ya saruji
kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Lewis
Kalinjuna kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara ya shule ya Kitomondo.
|