Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Dk. Shein kuaga mwili wa Omar Bongo - Gabon

17/06/2009

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akitia saini kitabu cha maombolezo Ikulu mjini Libreville, nchini Gabon kufuatia kifo cha Rais wa Nchi hiyo Marehemu Omar Bongo kilichotokea tarehe 8 Juni 2009 mjini Barcelona Hispania alikokuwa akitibiwa. Marehemu Bongo anatarajiwa kuzikwa kijijini kwake Nchini Gabon.

Askari wa Jeshi la Gabon wakisindikiza Jeneza lenye mwili wa Rais wa Gabon marehemu Omar Bongo aliyefariki Dunia tarehe 8 Juni 2009 nchini Hispania alikokuwa akitibiwa kuelekea uwanja wa ndege wa Nchi hiyo ulipokua ukitokea Ikulu mjini Libreville ukipelekwa kijijini kwake kwa maziko.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©