Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Serikali yafuta ushuru kwa madhehebu yote ya Dini

24/06/2009

Wiki moja baada ya serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kutangaza kuanza kutoza ushuru kwa mashirika yote ya Dini wakati ikiwasilisha bajeti ya Mwaka 2009/10 bungeni mjini Dodoma na kuzua maswali mengi kutoka kwa Wabunge.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Kayanza Pinda ametangaza rasmi kufuta ushuru Kwa madhehebu yote ya Dini na kurejea kama Mwanzo. Mheshimiwa Waziri Mkuu amewakilisha kwa kutangaza uamuzi huo mjini Dodoma.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©