Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Michael Jackson afariki dunia

26/06/2009

Michael Jackson, bingwa wa pop duniani amefariki dunia kwa kinachosadikiwa kuwa mshtuko wa moyo.

Michael Jackson amefariki akiwa na umri wa miaka 50. Mfanyakazi wa nyumbani kwake aliita 'Ambulance' kumuwahisha hospitali ambapo inasemekana hakuweza kuzinduka.

Michael Jackson ameacha watoto watatu.

Michael Jackson akiwa na rais mstaafu, Al-hajj Ali Hassan Mwinyi alipotembelea Tanzania miaka ya 90.

Pichani juu akipokelewa uwanja wa ndege wa Tanzania katika miaka ya 90 na aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wakati huo, Hayati Diria.

Michael Jackson ni mmoja wa wanamuziki wachache kukaribishwa Ikulu ya marekani ya White House kwa mchango wake katika muziki nchini Marekani katika miaka ya 80. Kulia kwa Michael ni aliyekuwa rais wa Marekani, Ronald Reagan na kushoto kwa Michael ni mke wa rais Reagan, Nancy Reagan.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©