Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kaimu Mufti Mkuu Sheikh Suleiman Gorogosi afariki ajalini

27/06/2009

Kaimu Mufti Mkuu, Sheikh Suleiman Gorogosi amefariki dunia katika ajali ya gari akiwa safarini akitokea Mtwara kwenda Lindi.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana marehemu Gorogosi aliondoka Dar es Salaam kwa ndege kwenda Lindi kupitia Mtwara, akashuka na ndege mtwara kuelekea Lindi na gari ambapo inasemekana tairi la mbele la gari alilokuwa akisafiria lilipasuka na gari kupinduka.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©