Sherehe za kuzaliwa Queen
Elizabeth II - Dar es Salaam
28/06/2009

Balozi wa Uingereza nchini
Tanzania, Bibi Diane Corner akiongea kwenye kilele cha maadhimisho ya
umbukumbu ya siku ya kuzaliwa Malkia Elizabeth II (wa pili) wa Uingereza
nyumbani kwa balozi Mtaa wa Kenyatta Anevue, jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi kwenye
maadhimisho hayo ni rais mstaafu awamu ya pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi,
akiongea na Balozi Corner.

Wageni mbalimbali
mashuhuri walihudhuria sherehe hizo, akiwemo Mama Anna Mkapa na Mabalozi
wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini.

Balozi Mzee Paul Rupia
akiwa na waalikwa wengine kwenye hafla hiyo.

Waalikwa wengine mbalimbali ambao
walihudhuria kwenye hafla hiyo.

Balozi Corner akipozi na
baadhi ya wageni waalikwa.
|