Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Hitma ya waliokufa kwenye meli ya MV Fatih

01/07/2009

Wazee, ndugu na jamaa wakisoma hitma ya kuwaombea abiria waliokufa katika meli ya MV Fatih baada ya meli hiyo kuzama katika bandari ya Malindi. Hitma hiyo ilifanyika katika Msikiti wa Ijumaa wa Malindi mjini Zanzibar kwa Kisomo hicho kiliandaliwa na uongozi wa kampuni ya Fatih Express ya mjini Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©