Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Maziko ya profesa Haroub Othman - Zanzibar

02/07/2009

Mwili wa marehemu profesa Haroub Othman ukipelekwa msikitini wakati wa swala ya maiti katka msikiti wa Masjid Salama eneo la Msufini na baadaye msafara wa kwenda mazikoni shambani kwake Chuini. Hakika alikuwa mtu wa watu kwani mazishi yake yameelezwa yalikuwa ni makubwa hayakupata kutokea visiwani kwa muda mrefu.

Mitaa yote iliyozunguka hapo ilifurika waombolezaji wakati jeneza lilipokuwa likipitishwa.

Mistari ya waombolezaji waliojipanga barabarani kusubiri jeneza ilitanda kila mahali.

Viongozi wa serikali walikuwepo kumsomea marehemu.

Viongozi wa serikali walikuwepo kumsomea marehemu.

Watu walijaa katika msikiti wa Masjid Salama uliopo Zanzibar katika kumsomea marehemu.

Nafasi ya ndani ilikuwa haitoshi kiasi kwamba waombolezaji wengine walilazimika kuswalia nje ya msikiti.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©