Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Hitma ya Sheikh Gorogosi - Dar es Salaam

09/07/2009

JK akisalimiana na baadhi ya waumini walioshiriki katika Hitma maalumu ya kumuombea Marehemu Sheikh Suleiman Gorogosi iliyofanyika katika Msikiti wa BAKWATA, Kinondoni Muslim.

JK akiteta jambo na Mufti wa Tanzania, Sheikh Shaaban bin Simba, pamoja na Shekhe wa mkoa wa Dar es Salaam, Al-hajj Musa Salum, wakati wa Hitma ya kumuombea marehemu Sheikh Suleiman Gorogosi aliyefariki hivi karibuni kwa ajali ya gari huko Lindi. Hitma hii ilifanyika katika msikiti wa BAKWATA Kinondoni Muslim jijini Dar es Salaam. Mufti Mkuu (pichani kushoto) inabidi akae kitini kutokana na sababu za kiafya.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©