Maendeleo ya barabara ya
Mandela - Dar es salaam
10/07/2009

Ujenzi wa barabara ya
Mandela ukiendelea jijini Dar es Salaam kama inavyoonekana pichani.

Kutokana na ujenzi na
ukarabati mkubwa wa barabara hiyo kumekuwepo na foleni kubwa ya magari
kila wakati hali ambayo imekuwa ikileta usumbufu wa hapa na pale, pamoja
na yote hayo barabara hii ikikamilika nadhani tatizo la foleni hizo
litapungua kwa asilimia kubwa.
|