Mara ya kwanza Tanzania
harusi juu ya Ngamia
11/07/2009

Inasemekana haijawahi kutokea harusi ya
namna hii Tanzania bibi kumvuta bwana juu ya ngamia wakielekea au
wakitoka kufunga ndoa.
Irene Uwoya akijulikana kama ni mwigizaji
maarufu wa filamu za Tanzania (mwenye gauni jeupe pichani) akimvuta
mumewe ambaye yupo juu ya ngamia katika siku ya harusi yake. Inasemekana
kuwa haijawahi kutokea staili ya namna hii nchini na kwa hivyo kajiwekea
historia.
|