Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Balozi Mohammed Maharage atoa Shukrani

12/07/2009

Familia ya balozi wa Tanzania nchini UAE bwana Mohammed Maharage Juma, inachukua fursa kuwashukuru wote ambao walioweza kushiriki katika mazishi na kuifariji familia kwa kufiwa na binti yao mpendwa Fatuai binti Mohammed aliyefariki Julai 08, 2009 na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam.

Rais Mstaafu Mh. Benjamin William Mkapa akimfariji Balozi Mohamed Maharage Juma baada ya mazishi ya bintiye katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Kati ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Bernard Membe.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©