Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

MICHUZI amzawadia mgeni wa Milioni 6

16/07/2009

Kaka Issa Michuzi (pichani kulia) akimpongeza Lugazo Semdili (kushoto pichani), mume wa mgeni wa Milioni 6 wa Globu ya Jamii (Michuzi Blogspot), Fatma Shefa, aliyempokelea mkewe zawadi ya dola 1000 kupitia huduma ya M-Pesa ambayo inatolewa na kampuni ya simu ya Vodacom.

Kaka Michuzi akimshukuru Rukia Mtingwa wa Vodacom baada ya kampuni hiyo inayoongoza ya simu za mkononi kutimiza ahadi yake ya kumdhamini mgeni wa milioni 6 kwa kumzawadia dola 1000.

Mgeni wa Millioni 6 wa Globu ya Jamii, Fatuma Shefa, anayesoma katika Chuo Kikuu cha Coventry University, Uingereza, hatimaye amekabidhiwa kitita chake cha dola 1000 kupitia huduma makini ya M-Pesa ya Vodacom baada ya mgeni huyo kuzuru Globu ya Jamii ya Michuzi Blogspot akiwa kama mtu wa milioni 6.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©