Ubalozi mpya wa Kenya
nchini Tanzania
18/07/2009

Jengo
jipya la ubalozi wa Kenya nchini Tanzania (a.k.a Harambee Plaza)
lililopo kwenye makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi road na Kaunda
drive, Dar es Salaam.

Rais JK
akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Mh. Mwai Kibaki na mawaziri wao
wakipozi na wafanyakazi wa ubalozi wa Kenya nchini baada ya Mh. Mwai
Kibaki kuuzindua ubalozi huo.
|