Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Ubalozi mpya wa Tanzania nchini Kenya

19/07/2009

Taswira ya mchoro unaoonesha jinsi jengo la ubalozi wetu jijini Nairobi kwa watani wa jadi (Kenya) utavyokuwa baada ya kukamilika.

Kwa mujibu wa wahusika jengo hilo litakuwa linatumika kama ubalozi, kitega uchumi na pia kutakuwa na kituo cha biashara na uwekezaji.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©