Muonekano mpya wa Taxi za
Dar es Salaam
20/07/2009

Hivi
ndivyo teksi za Dar es Salaam zinavyoonekana hivi sasa ambapo kila
wilaya ina rangi yake. Wilaya ya Ilala ni kijani, Kinondoni ni njano na
Temeke buluu. Hii ni katika kurahisisha utambuzi wa magari ya Taxi
jijini na kuwa na mpango maalum katika usafiri.
Picha
hii imepigwa kona ya mtaa wa Mkwepu na Samora Avenue zamani maarufu kama
Salamander ambayo jengo lake limeshapigwa nyundo kwa kunyanyua uyoga
mpya.
|