Dk. Asha Rose Migiro
azindua shule kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano
22/07/2009

Naibu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro akifurahia baada ya
kuzindua rasmi Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano (School of
Journalism and Mass Communication) leo jijini Dar es Salaam.

Naibu
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro akitoa hotuba
katika uzinduzi rasmi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano
(School of Journalism and Mass Communication) mchana huu chuoni hapo
Mikocheni Dar es Salaam.

Matangazo ya moja kwa moja na Mlimani TV ambapo pia Mlimani Radio FM na
The Hill Observer vimezinduliwa pamoja na chuo hicho.

Mhadhiri
Ayoub Riob (shoto) wakiwa na wakuu wa chuo hicho waliopita katika hafla
hiyo. Kutoka kulia ni Mzee Samwillu Mwafisi, Gervas Moshiro na Profesa
Mwajabu Possi.
|