Karume azindua ndege mpya
ya Precision Air "Zanzibar"
25/07/2009

Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume,
akijaribu ndege mpya ya shirika la ndege la Precision Air aina ya ATR 72
iliyotengenezwa nchini Ufaransa ikiwa na uwezo wa kuchukua Abiria 70.
Ndge hiyo imepewa jina la Zanzibar katika uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Zanzibar.
|