Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Dk. Mohamed Ali Shein aozesha

26/07/2009

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ali Shein akimshika mkono Abdallah Hassan Mitawi katika kumuozesha bintiye, Mwanaharusi Mohamed Shein, kwenye msikiti wa Al-Ibrahim Mombasa huko Zanzibar. Kulia kwa Dk Shein ni JK na Rais wa Zanzibar Mh. Amani Abeid Karume na mbele kulia ni Sheikh Thabit Noman Jongo aliyesimamia shughuli hiyo.

Hassan anafanya kazi TVZ na bi Mwanaharusi ni afisa mawasiliano Benki ya Watu wa Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©