Jumuia ya Watanzania UAE
yafunguliwa rasmi
04/08/2009

Aliyekuwa Mwenyekiti wa
muda (sasa mstaafu) wa Jumuiya ya Watanzani UAE, Bwana Shaaban Mgido (katikati)
akimkabidhi Counselor General wa Tanzania ndani ya Dubai na Emirates za
Kaskazini, Mheshimiwa Ali Ahmed Saleh (kulia) hati ya shukran kwa
mchango wake mkubwa katika uanzishwaji wa Jumuiya hiyo. Kushoto ni
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Watanzania nchini UAE Arch. Mohammed
Shariff.
|