Akamatwa na madawa ya
kulevya
09/08/2009

Mkuu wa kitengo cha kudhibiti dawa za
kulevya nchini Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Godfrey Nzowa
akionesha kifurushi cha dawa za kulevya aina ya Heroin zenye uzito wa
kilo 3, kwa waandishi wa habari baada ya kukamata madawa hayo kwa
aliyebainika kuwa ni raia wa Kenya, Rebeka Wairimu, katika kituo kikuu
cha Mabasi, Ubungo, Dar es Salaam, kwa nia ya kupeleka madawa hayo.
|