Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

UNHCR yatoa msaada kwa Polisi

10/08/2009

Mwakilishi mkazi wa shirika linaloshughulikia wakimbizi nchini (UNHCR) Bw. Yakoub El Hillo akikata utepe kama ishara ya makabidhiano ya magari na pikipiki kwa jeshi la polisi nchini ili kusaidia kupambana na uhalifu. Wanaoshuhudia kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Rawlence Masha, kushoto ni Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Said Mwema na katikati ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika Makao makuu ya Wizara ya Mambo ya ndani ambapo UNHCR imekabidhi magari aina ya Toyota Prado 2, Toyota Hardtop 6 na pikipiki 10 vyote vikiwa na thamani ya Dola za kimarekani 241,000.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©