Harusi ya Dk. Ali Salim
11/08/2009

Katibu mkuu mstaafu wa
umoja wa Afrika Dr. Salim Ahmed Salim (kushoto) pamoja na Mkewe Amne
Salim (kulia) na Dr. Ali Salim Pamoja na mkewe Karly Salim wakati wa
sherehe ya harusi yao iliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee
jijinji Dar es Salaam. Rais JK (katikati) alikuwa ni mmoja wa wageni
rasmi waalikwa.

Katibu Mkuu wa CUF Maalim
Seif Shariff Hamad pamoja na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Abdulrahman
Kinana na rais JK wakati wa sherehe ya harusi ya Dr. Ali Salim Ahmed
Salim mtoto wa Katibu mkuu wa mstaafu wa Umoja wa Afrika Dr. Salim Ahmed
Salim iliyofanyika katika uklumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es
Salaam.
|