Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mkurugenzi wa WHO ziarani Tanzania

17/08/2009

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk. Margaret Chan akimsalimia Bi. Eliza Marius na mtoto wake Pius Marius katika wodi ya watoto katika kituo cha Afya cha Ifakara, wilayani Bagamoyo.

Mkuu wa kituo cha Afya cha Ifakara kilichopo wilayani Bagamoyo Dk. Salim Ahmed akitoa maelezo kwa ugeni kutoka WHO kuhusu huduma zinazotolewa na kituo hicho leo wilayani Bagamoyo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©