Mwanafunzi mkongwe duniani
afariki dunia
18/08/2009

Mwanafunzi mkongwe kuliko wote aliyekuwa
akihudhuria masomo ya elimu ya msingi, mzee Kimani Maruge (pichani mbele)
amefariki dunia. Kimani alikuwa akisoma katika shule ya msingi ya
Kapkenduiywa iliyopo Magharibi mwa Nairobi, Kenya.

Mzee Kimani amefariki akiwa na umri wa
miaka 90.
|