Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mwezi wa Ramadhan - Markiti Zanzibar

22/08/2009

Mwezi mtukufu wa Ramadhan wa mwaka 1430H (2009) umewadia na Waislamu duniani kote wameupokea kwa mikono miwili. Pichani juu na chini, zinaonyesha harakati za mwezi mtukufu wa Ramadhan ulivyopokelewa katika masoko makuu makubwa ya Zanzibar na wakazi wa Zanzibar kujiandaa na barka na neema za mwezi mtukufu wa Ramadhan. Pichani ni mandhari ya soko kuu la Mwanakwerekwe, Zanzibar.

Mazao mbalimbali yanapatikana katika masoko yakiwamo Maboga...

Ndizi mbichi, ndizi Mbivu...

Majimbi (fungu Tsh. 2,000)...

Tende.

Wafanyakazi wa baraza la Manispaa Zanzibar wakidai kodi ya kupaki gari darajani. Kodi ya Kupaki gari moja ni Tsh. 500.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©