Bajaj yapata ajali
25/08/2009

Ajali
imetokea leo maeneo ya makumbusho Millenium Tower muda wa saa saba na
nusu hivi mchana baada ya kibajaji hicho kugongwa na dala dala ya Mwenge-Posta
na kukimbia, Kibajaji hiki kilijaribu kukimbia barabara ya pili bila
mafanikio na kujikuta kikidumbukia moja kwa moja. Hakuna aliyedhurika.

Dereva wa Kibajaji wa pili
kulia akihojiwa na Polisi wa usalama barabarani.
|