Jeshi la Wananchi Tanzania
(JWTZ) miaka 45 kimfano
27/08/2009

Askari wa Jeshi la Wananchi la Tanzania
Bigedi ya Kusini wakifanya usafi Kituo Kikuu cha Mabasi Manispaa ya
Songea Mkoani Ruvuma kuonyesha mfano katika jamii ikiwa kama mojawapo ya
kusherehekea miaka 45 ya kuundwa kwa Jeshi hilo.
|