Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Dar es Salaam Zoo

31/08/2009

Dar es Salaam Zoo imekuwa ni kivutio kikubwa kwa watalii wanaofika Dar es Salaam na wakazi wa Dar es Salaam kwa ujumla. Sehemu hiyo ya hifadhi na ya maonyesho ya wanyama wa mbuga ipo Kigamboni maeneo ya Kibada.

Kutoka Dar es Salaam mjini mpaka Dar es Salaam Zoo ni umbali wa Kilomita 37 kupitia Kilwa road - Kongowe - Mji mwema - Kibada, halafu Kilomita 9 njia ya Moram road mpaka kufikia Dar es Salaam Zoo; na Kilomita 23 kupitia kivukoni.

Pichani Kaka Michuzi akiwa ndani ya Dar es Salaam Zoo akipata undani wake.

Dar es Salaam Zoo ina ndege na wanyama aina mbalimbali wakiwamo Secretary birds.

Mchanganyiko wa Mabata.

Maelekezo ya kutosha.

Kwa lugha ya Kiswahili na Kizungu.

Fisi.

Simba.

Chui.

Nungu.

Mjusi wa mto Nile.

Chatu.

Mamba.

Pundamilia na Nyumbu.

Mbuzi na Kondoo.

Ngamia.

Ng'ombe na Nyati.

Bata.

Wote wakiangaliwa kwa ulinzi mkali uliowekwa hapo Dar es Salaam Zoo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©