Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Roman Abromavich atembelea Tanzania

02/09/2009

Bilionea na mwenye kumiliki timu ya Chelsea ya England bwana Roman Abromavich ametua kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro Internationa Airport katika ziara yake ya kutembelea mbuga za wanyama na mlima wa Kilimanjaro.

Mara baada ya kutua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kiliimanjaro, bilionea huyo alielekea moja kwa moja katika hoteli inayojulikana ya hali ya juu Grumeti Luxury Lodge iliyopo Serengeti National Park. Abromavich hajajulikana safari yake ni ya siku ngapi nchini.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©