Rubani wa kwanza wa kike
JWTZ
03/09/2009

Rubani wa kwanza wa kike Tanzania kwa
ndege za kivita za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Rose Katila
ni mmoja wa marubani waliofanya mambo makubwa sana katika maonyesho ya
miaka 45 ya Jeshi la Wananchi Tanzania yaliyomalizika jijini Dar es
Salaam ya mwaka huu 2009.
|