Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Yanga (Dar Young Africans)

04/09/2009

Klabu ya timu ya vijana wa mjini Dar es Salaam (Dar Young Africans) ijulikanayo kwa jina maarufu 'Yanga' ambayo ipo katika viwanja vya Jangwani, ipo katika ukarabati wa nguvu wa kuirudisha klabu hiyo katika hali yake iliyokuwa, ikiwa kama ni timu kubwa moja wapo ya timu za kitaifa za Tanzania ikiwamo timu ya Simba na nyinginezo.

Katibu mkuu mpya wa kuajiriwa wa Yanga, bwana Lawrence Mwalusako (shoto) akiwa na aliyekuwa katibu mkuu wa klabu hiyo bwana Lucas Kisasa, wakati Mwalusako alipowasili Jangwani kuanza kazi rasmi.

Lawrence Mwalusako akiongea na mshambuliaji Mrisho Ngasa anayepiga tizi kwenye gym ya Yanga iliyo katika klabu hiyo mtaa wa Twiga, Jangwani mjini Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©