Iftar ya Watanzania UAE
07/09/2009

Consul
General wa Tanzania katika Dubai na Emirate za Kaskazini Bw. Ali Ahmed
Saleh akiwa na baadhi ya waliohudhuria wakiwa katika kufuturu ndani ya
mwezi mtukufu wa Ramadhan 1430 AH.

Pichani
ni baadhi ya Watanzania waliohudhuria katika muwaliko wa Iftar wa mwezi
mtukufu wa Ramadhan.

Consul
General wa Tanzania katika Dubai na Emirate za Kaskazini Bw. Ali Ahmed
Saleh wa pili kulia akiwa pamoja baadhi ya Masheikh waliohudhuria Iftar.
Sheikh Muhidin Abdulraham wa kwanza kushoto, Sharif Hussein Badawi wa
pili kushoto na Sheikh Twalib wa kwanza kulia ambaye ni Imam wa Msikiti
Maamur uliopo Upanga Dar es Salaam. Ramadhan Kareem.
|