Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Vodacom yafuturisha Zanzibar

08/09/2009

Mama Shadya Karume akikaribishwa hoteli ya Bwawani na Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba (wa pili kulia) na Afisa Habari wa Vodacom Foundation Mwami kwenye iftar maalumu kwa watoto Zanzibar.

Vijana wa Kiislam wakionekana wakiwasili katika mualiko wa iftar iliyotayarishwa na Vodacom.

Mama Shadya akikabidhi misada hiyo kwa wahusika.

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo wa Zanzibar Mh. Mahmoud Thabit Kombo akifutari na maofisa wa Vodacom kwenye iftar hiyo iliyofanyika Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©