Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Tope Mtaa wa Kongo

11/09/2009

Uchafu uliotolewa katika mfereji wa mtaa wa Kongo na Mchikichi jijini Dar es Salaam ukiwa umerundikana na kutoa harufu mbaya kwa siku tatu kama uonekanavyo pichani. Wafanyabiashara wa eneo hilo wanalalamikia wafanyakazi wa Halmashauri kwa kushindwa kuzoa takataka hizo licha ya kulipia Tsh 10,000 kila mwezi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©