Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mashindano ya Qur'an Dar es Salaam

14/09/2009

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi ya nakala za misahafu kutoka kwa Dk. Abdel–Baqi (kushoto) wakati wa mashindano ya kuhifadhi Qur’an tukufu yaliyofanyika katika Hoteli ya Movenpick jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo yaliandaliwa na ubalozi wa Misri kupitia kituo chake cha utamaduni kiitwacho Egyptian Islamic Center na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Fedha na Uchumi bwana Mustafa Mkullo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©