Vodacom Foundation
yafuturisha Bukoba
15/09/2009

Baadhi ya watoto yatima wa
Bukoba Mjini, wakila futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation mjini
humo katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Katika hafla hiyo kitengo hicho
cha misaada cha Vodacom kilikabidhi pia aina nyingine za misaada ya
kibinadamu kwa watoto yatima.

Baadhi ya watoto yatima wa
mjini Bukoba, wakila futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation mjini
humo katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Katika hafla hiyo Vodacom pia
ilikabidhi misaada mingine ya kibinadamu kwa watoto yatima.

Mmoja wa wafanyakazi wa
Vodacom mjini Bukoba akisaidia kugawa futari kwa baadhi ya watoto yatima
wa Bukoba Mjini iliyotolewa na Vodacom Foundation mjini humo hivi
karibuni.

Watoto wa madrasa kati ya
madrasa zilizopo mjini Bukoba wakiomba dua katika hafla ya futari
iliyoandaliwa na Vodacom Foundation mjini humo katika mwezi mtukufu wa
Ramadhan.
|