Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Baraza la Eid - Zanzibar

21/09/2009

Pichani Waislam waliohudhuria baraza la Eid mjini Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa nyumba ya Wananchi, Forodhani.

Pichani Waislam waliohudhuria baraza la Eid mjini Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa nyumba ya Wananchi, Forodhani.

Ustadh akisoma Qur'an katika baraza la Eid ndani ya jumba la Wananchi Forodhani katika siku ya sherehe za Eid ambayo imesheherekewa na Waislam wote duniani.

Waislam waliohudhuria baraza la Eid mjini Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa nyumba ya Wananchi, Forodhani.

Waislam waliohudhuria baraza la Eid mjini Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa nyumba ya Wananchi, Forodhani.

Waislam waliohudhuria baraza la Eid mjini Zanzibar iliyofanyika katika ukumbi wa nyumba ya Wananchi, Forodhani.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al-Hajj, Dk. Amani Abeid Karume alikuwa ni mgeni wa heshima katika baraza la Eid, viwanja vya jumba la Wananchi, Forodhani.

Jeshi la FFU pia lilijumuika katika sherehe za sikukuu za Eid katika jumba la Wananchi, Forodhani, Zanzibar.

Mgeni wa heshima Al-Hajj Amani Abeid Karume akihutubia baraza la Eid katika ukumbi wa jumba la Wananchi, Forodhani, Zanzibar.

Mama Shadya Karume akitoa zawadi za Eid kwa watoto yatima katika sherehe za Eid zilizofanyika jumba la Wananchi, Forodhani, Zanzibar.

Baadhi ya watoto yatima wakionekana pichani na bahasha walizopewa kama zawadi ya Eid.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©