Baraza la Eid - Dar es
Salaam
22/09/2009

Rais mstaafu wa awamu ya pili, Al-Hajj Ali
Hassan Mwinyi (katikati) akipeana mikono na Makamu wa Rais Dk. Ali
Momahed Shein (kulia) mara baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid katika
viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja wapo ya sherehe
za sikukuu za Eid ambayo ilisheherekewa na Waislam wote duniani.
|