Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kombe la Dunia kufanya ziara Tanzania

23/09/2009

Kombe la Dunia ambalo litafanya ziara nchini Tanzania mwezi wa Novemba mwaka huu kwa hisani ya kampuni ya Coca Cola, litaanikwa katika uwanja mpya wa Taifa uliopo jijini Dar es Salaam. Ziara yake hiyo pia itatumika kunadi uwanja huo mpya wa taifa nchini Tanzania kuvutia timu zitakazo shiriki kwenye shindano la Kombe la Dunia 2010 wafanyie mazoezi kwa makubaliano maalum.

Mashindano hayo ya kombe la Dunia yanatarajiwa kuwa mwakani (2010) wakati wa kiangazi nchini Afrika ya Kusini (South Africa).

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©